ABOUT ME



THIS IS MY STORY AND FAMILY ALSO ALL ABOUT ME
Introduction
My name is  …………………………………………………………………. Joseph Dinya Siasa
My father  name is……………………………………………………….  Haruna Seif Dinya Siasa
My mother name is …………………………………………………….. Jestina Mgejji Elias
My young name is ………………………………………………………. Given Elias
My father is came from ………………………………………………….Singida(Kondoa)
My mother is came from ………………………………………………..Iringa (Wanging’ombe)
Religion of Father ………………………………………………………….. Islamic
Religion of Mother ………………………………………………………… Christian
Dhehebu ……………………………………………………………………….. Lutheran
And I I think u know where I came from  underline answer
Intro my Self
Continental …………………………………………………………………… African
My Birth of date…………………………………………………….. 14/05/1988
Weight …………………………………………………………………… kg65
In a hospital of national…………………………………………. Muhimbili
Nationality……………………………………………………………. Tanzanian
Religion ………………………………………………………………… Christian
Dhehebu ……………………………………………………………….. Roman Catholic
My favourite
I like
Food……………………………………………………………………… Wali and Maharage
Drink……………………………………………………………………. Water, Softdrink
Movie………………………………………………………………….. Romeo must die by Jet lee and Bridge of Dragon by Dolf Lundgren
Actor…………………………………………………………………… Donnie Yen and Jet Lee
Actres ………………………………………………………………… Aaliayah and Angelina Jolie
Watching …………………………………………………………… Television
Listenin……………………………………………………………….. Music
Musician…………………………………………………………….. Hip Hop, R&B, Pop, African Music
Singer man…………………………………………………………  Marc Anthony
Singer woman ……………………………………………………. Stara Thomas
Best rapper man…………………………………………………  Jay Z and Joh Makini
Best rapper woman……………………………………………  EVE
Best r&b man …………………………………………………… Morgan Heritage
Best r&b woman…………………………………………………………….. Mary J Blige
Song …………………………………………………………………… She mends me, Nipo kwa ajili yako
Book …………………………………………………………………… All about me
Games Playstation ……………………………………………… Soccer
Playing ………………………………………………………………... Football
Phone ………………………………………………………………….. Nokia
Wear …………………………………………………………………… T-shart and Jeans
My friend for all their name are ………………….......... Kennedy, Chipande, Immanuel Linngowe, Immanuel Savimbi, Silas Semkuyu, Abuu, Yohana, Bosco, Joseph Mengele, Elisha Mengele, Ali Hamed, Salim Hamed, Said Hamed, Eddy mazanda, Dotto Mazanda, Kulwa Mazanda, Siya Michael, Queen Joseph, Loise Donald, Singi, Shamis, Hamad, Evod, Willy, Faidha, Nicolaus, Ladislaus,Josephine r Assenga, Joseph r Asenga, Light r Assenga, Godfrey r Assenga, Lucas, Mbulu, Sawid, Edward, Nestory, Beka, Msafiri, Richard Abogast, Monica, Monica Lewisc, Neema William Shauri, Boaz William Shauri, Michael William Shauri, Mmanda, Mashakii, Yusuph Maneno, Rahim Msambili, Zuber, Nyuto, Regan, Lucy Iyeyeu, Jimmy Gervas, Gasper, Mama Shabani, Mama Assenga, Baba Assenga, Juma Mtawila, Mawazo Mtawila, Andrew Anatori Amandi, Bahati Mlawa, Cliff, Frank Silayo, Todi, Abdalah, Alpha, Elyzeira, Stanley, Maganga, Sendisha, Benito Elias,Gerrard, Mama Nduu, Rahma, Aloyce, Pius, Eli Mbega, Richard Mshiu, Aron Mshiu, Mzee Mshiu, Pendo Sumari, Luckness Sumari, Sada, Mwamvua, Esta, Feristar, Costar, Chogo, Bigina,Super Kizozo, Fikiri Magoso, Fikiri Nchimbi, John Nchimbi, Kulwa Nchimbi Omar Mputa, Khadija Mputa, Abedi, Majuto, Zahara, Bonny, Masanka, Malik Juma , Juma, Ramadhan, Zawadi, Elizebeth, Elizebeth Saba, Michael Gideo, Lucy Gideo, Fatma, Mariam, Hawa, Rabani, Gideon, Asia, Asha Kibinda, Alifu, Bakari, Evansi, Maua, Hatibu, Mohamed, Jiwe
Chapter 1
It was in 1999 nilikuwa nikiishi mimi na mama yangu Kipindi hicho nilikuwa na umri wa miaka kumi na moja, tulikuwa tukiishi Dar es Salaam katika Wilaya ya Ilala Mchikichini Quarter Mtaa wa Gonga, Tulikuwa tukiishi kwa amani sana kati yetu, yaani mimi, mama na mama mdogo Lucy.
Tulikuwa tumepanga katika nyumba ya Mzee Ngamba ambaye ndiye alikuwa baba mwenye nyumba wetu. Mwaka 1996 nilianza shule ya chekechea ya Vidudu pale Pentekoste ilikuwa shule ya Kanisani. Nilikuwa nikisoma na marafiki zangu wakiume na wakike napenda kuwataja kwa majina kwa wote, Emanuel Lingowe, Jaja, Richard Abogast, Mwarami, Sarah, Zahara n.k  chekechea nilisoma vizuri tu sana, yaani ilikuwa full kujiachia ikifika mapumziko tulikuwa tunapewa Chai ya maziwa na Mkate, Uji wa maziwa, Machungwa it was so funny I like it, and I know it never happen again, kwani ilikuwa poa unajua tulizoeana sana, darasani mimi na marafiki wenzangu ilipendeza sana. Lakini ilikuja kuwa mbaya pale pindi ambapo tunamaliza Chekechea yetu, kwani kila mtu anaanza darasa la kwanza, lakini haikuwa mbaya sana kawaida. Mwaka 1997 nilianza darasa la Kwanza katika shule ya Msingi Boma Ilala, basi tulivyoanza tena kama kawaida tena nikakutana na marafiki wapya, ilikuwa nzuri tu. Kwani nilkutana tena na marafiki wengine ambao tulisoma wote Chekechea. Loooooh! Nilifurahi sana ilikuwa so amaizing fantastic yenye kuvutia, ilipendeza sana basi tulianza kusoma vizuri tu. Darasa la kwanza tukamaliza, tukaingia la Pili darasa letu lilikuwa mkondo (D). Darasa la Tatu nilikuwa ninakaa na mama cha kwanza kabisa naweza kusema kwamba siku zote mtoto akui kwa Mama kwa hilo nadhani kila mtu analitambua, kiu kweli kwamba Baba na Mama hawa kukaa katika nyumba moja. Baba alikuwa akiishi maeneo hayo hayo sio mbali sana na kwa Mama penyewe panaitwa Korowezi ni sawasawa na nyumba kumi na tano kwa ukaribu walipo.Subiri usiwe na haraka nitakwambia yote usiwe na haraka. Eeheeeee! Kweli hawakuishi pamoja lakini sikujua kiundani kwanini hawa kuishi pamoja .Sikuwa na akili ya kuwauliza kwa ninni awakuishi pamoja? Basi nilikuwa ni kiishi hivyo kama shifting Cultvation(yaani, kilimo cha kuhama hama. Kwa Baba nilikuwa nikikaa labda wiki moja na kwa Mama nae vivyo hivyo lakini sana sana kila mmoja hakini miss basi huwa nakuja kuchukuliwa zikifika hizo siku. Lakini nilikuwa nikimpenda sana Mama kwani alikuwa akinipenda sana mwanae, Alinidekeza sana kila ambacho nilikuwa nikikitaka alikuwa mstari wa mbele kunipatia. Sasa tuelekee kwa Baba yeye alikuwa hapendi mimi nideke yeye alikuwa kama mwanajeshi vile hakutaka uzembe uzembe alipenda niwe shap shap kwani nilikuwa nimepoa poa sana. Alikuwa ananipiga nikikosea kwa yale maagizo yake ambayo alikuwa akinipa Loooooooooooh! Alikuwa so strong kama Stone lakini ndio alikuwa baba yangu nae , nilimpenda sana. Ingawa alikuwa ananifundisha na kuniweka sawa kuwa kama yeye,
Labda naweza kujua japo kidogo lakini nahisi kimtazamo wangu jinsi ilivyokuwa. Mnamo mwaka 1993 nilikuwa na miaka 5. Ilikuwa Iringa kipindi hicho mama alikua huko ndipo Baba alipokuja kunichukua mimi kutoka Iringa kwenda Dar es Salaam, nahisi Baba baada ya kumpa Mama ujauzito. Akakaa sana Dar es Salaam sana .Sijui alijisahau kidogo Lakini alipokumbuka ndipo nilikua nina miaka 5 ndipo akaja kunichukua alivyo kuja alikutana na Babu yaani, ni Baba yake Mama anaitwa Elias Mgejji. Baada ya kukutana wote ndipo akataka kunichukua yote hayo ni kwaajili kwamba alivyoenda alimkuta mama akiwa na Ujauzito mwingine, ambao sio wake ndipo Baba akaamua kutaka kunichukua. Lakini walibishana sana , Baba yeye alitaka kutoa hela ili anichukue. Familia ya Mgejji iligoma goma lakini wakakubaliana vivyo hivyo wengine walikubali kwa shingo upande mimi kutoka, Lakini liltolewa sharti kuwa waje wote pamoja na Mama ili apaone tutakapoishi. Basi baada ya Mama kupaona ikabidi arudi tena Iringa kwani teyari Alishapajua ninapoishi.Basi Mama akajifungua Mtoto mwingine ambaye ni mdogo wangu kwa jina anaitwa Given, Basi baada ya kuzaliwa mdogo wangu huko Iringa kwani alishafikisha umri wa miaka 4 ndipo nao wakaamua kufunga safari yeye na mdogo wangu na Mama Mdogo Lucy, Ilikuja kukaa karibu na mimi and then na kutafuta. Tukianza na Mama Mdogo Lucy yeye kwanza alishawahi kuja Dar es Salaam na alikuwa akifanya kazi Keko Magulumbasi nafikiri zilikuwa kazi za ndani, Basi walivyofika ndipo Mama nae akatafuta kazi nae akapata ndipo akapata fedha ndipo akapanga chumba huku akishirikiana na Mdogo wake kipindi hicho mimi bado nipo kwa Baba. Baada ya kukutana mama na baba ndipo wakaamua zamu ya mimi kukaa huku siku ngapi na huku siku ngapi. Basi ndipo tukaendelea kuishi hivyo hivyo, Baba alikuwa akiishi na Mwanamke mwingine ambaye mimi ndio alikuwa Mama wa kambo maana yake Mama wa kufikia. Uyo mama wa kufikia nae alikuwa na mumewe lakini waliachana lakini sikuweza kujua kwanini waliachana na uyo mumewe mpaka, Baba yangu akampata akawa anaishi nae yote maisha hayo huwezijua. Mama wa Kufikia alikuwa ana Watoto wa wili tu wakiume ambaye jina lake ni Baraza na Wakike ambaye jina lake ni Jesca. Asili ya Yule mama wa kufikia ni Mmalawi ndiye ambaye nilikuwa nikiishi nae pamoja na wanae pamoja na Baba katika nyumba moja. Tunakula pamoja tulieshimihana kidogo ingawa siku mkubwa kiivyo kwani bado nilikuwa kinda tu bado huo ulikuwa ni mwaka 2000. Ila Uyo mama wa kufikia na Yule mumewe ambaye waliachana walikuwa wanakaa jirani tu kama nyumba tatu tu. Basi ilivyofika zamu ya kwenda kwa mama nilifurahi sana basi nikaenda kwa Mama yangu kipenzi changu kwani nilimpenda sana
   Naitwa Ester Athanas  umri wangu  miaka  23 mdongo wake Joseph Siasa  mama yake Joseph mdogo mama yangu mkubwa  yaani hawa baba yao ni mmoja  ila mama  tofauti  baba  yaoaliitwa  Elias  Mgeji  ambae  sisi ni babu yetu mimi  niliishi  Dar-es-salaam lakini  nilikuwa sifaham  kama  nina  kaka  anayeitwa Joseph  lakini  siku  moja  mama  alinipigia  simu  kuwa   kuna kaka yangu  ameenda  kijiji  [wanging’ombe] mkoani  Iringa kusalimia  ikabidi  mama  ammpe  no.  ya simu  iliatakaporudi anitafute  na  mimi  nikapewa  no.  ya  simu  ya kaka  lakini  sikuchukua  muda  mimi  nikaenda  kijiji  ila  tukapishana  siku  aliyoondoka  ndiyo siku  niliyofika   basi  tulitafutana  Dar-es-salaam  kwa  mara  ya kwanza  kutafutana  tulipigiana  simu  tukakutana  Ilala  boma nikaenda  anapoishi  nikapajua  nilifurahi  sana tokea  hapo  tukawa  tupo  pamoja  shida,  raha  tuko pamoja  so  Joseph  and  Ester [peace &  Love].
Ester  ni  binti   mnzuri sana  aliyelelewa  katika  maadili  ya  kiafrika  anayependa  kila mtu  ndugu;jamaa;rafiki ;maskini;tajiri ;watoto ;wakubwa   lakini nina  mdongo  wangu kipezi  anayeitwa   Emmanuel  aliyezaliwa mwaka 2005 ila ndoto  za  ESTER kuwa mtu  maharufu sana katika  nchi  kubwa  zaidi  napenda   kuwasaidia   yatima  na kuwa  mfanyabiashara  maarufu hivyo  mungu  atanisaidia  ndoto zangu  zitatimia .MATEGEMEO  Kuolewa kwa ndoa na  kuzaa  watoto wazuri  watakao lelewa  katika  maadili ya  kiafrika  napenda   watoto  wapendwe sana  baba  yao  ni  rahisi  kupendwa hata mimi  na  baba yao Mungu nibariki nizae [handsome&beautiful]. 9                                   


No comments:

Post a Comment