Kama
wakristo tuliookoka, tunatakiwa kuchukua hatua gani?
Nanukuu
‘Freemasons wa Tanzania? Waliojitokeza waziwazi na kujitambulisha ni kina
Chande “Andy Chande” ambao ni matajiri wafanyabiashara maarufu. Katika
mahojiano aliyofanya na mwandishi Muhiddin Michuzi wa gazeti la Sunday News la
tarehe 3 April 2005, Sir Andy Chande alikiri kuwa anao wanachama zaidi ya 3,000
(yeye mwenyewe ni District Grand Master), na kuwa wamekuwa wakishirikiana na
Rais Yoweri Museveni, Makamu wa Rais wa Kenya Moody Awori, na Rais Mstaafu Ben
Mkapa (hakutaka kutamka wazi kuwa ni wanachama, lakini wapo watu wengine
wanaofahamu kuwa hao aliowataja ni wanachama wa hiyo kitu, pamoja na Mzee
Mengi). Alitamka kuwa mtu yeyote akishajiunga na freemasonry hawezi kutoka
tena, kwa maneno yake “Once a freemason, always a freemason”.
Tazama
jibu la Sir Andy Chande alipoulizwa na Muhiddin Michuzi kuhusu yalipo makao
makuu ya Freemasons nchini Tanzania: “It is located along Sokoine Drive, just
behind the Kilimanjaro Hotel in Dar es Salaam. We have a licence to sell drinks
to members; we have also been exempted by the government of Tanzania from
registration We have the full blessings of the government. Once that building
was about to be taken over for public purpose, but when I sent a memorandum to
the State House, we got it back. You know, Mwalimu Julius Nyerere was not a
Freemason, but he knew what Freemasonry is”.
No comments:
Post a Comment